Jeshi la polisi nchini Tanzania limeruhusu mikutano ya ndani ya vyama vya siasa, ila, bado unashikilia msimamo wake ya kukataza mikutano ya hadhara na maandamano isipokuwa ile ya wabunge majimboni mwao kwa sababu za kiusalama. Wasikilizaji wa rfi-Kiswahili wanazungumza juu ya hatua hii ya polisi nchini Tanzania.
Vipindi vingine
-
Habari RFI-Ki Ugumu wa mataifa ya Afrika kuwapa raia wao makazi bora Haki ya raia kuishi kwenye makazi bora imeendelea kuwa changamoto kwa mataifa ya Afrika06/06/2023 09:32
-
Habari RFI-Ki Wito wa Marekani na Saudia wa kufanyika upya mazungumzo kumaliza vita Sudan Nchi za Marekani na Saudia ambazo zimekuwa zikiratibu mazungumzo ya kuleta amani Sudan zimetaka mazungumzo hayo kufanyika upya .05/06/2023 09:53
-
02/06/2023 09:30
-
Habari RFI-Ki CAR kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya, itakayomruhusu rais Touadera kuwania urais 2025.01/06/2023 09:30
-
01/06/2023 09:32