Habari RFI-Ki

Ruksa Kwa Mikutano Ya Ndani ya Vyama Vya Siasa

Imechapishwa:

Jeshi la polisi nchini Tanzania limeruhusu mikutano ya ndani ya vyama vya siasa, ila, bado unashikilia msimamo wake ya kukataza mikutano ya hadhara na maandamano isipokuwa ile ya wabunge majimboni mwao kwa sababu za kiusalama. Wasikilizaji wa rfi-Kiswahili wanazungumza juu ya hatua hii ya polisi nchini Tanzania.

Nsato Mssanzya, Kamishna wa Mafunzo na Operesheni wa jeshi la polisi nchini Tanzania akizungumza na waandishi wa habari.
Nsato Mssanzya, Kamishna wa Mafunzo na Operesheni wa jeshi la polisi nchini Tanzania akizungumza na waandishi wa habari.
Vipindi vingine
  • Image carrée
    06/06/2023 09:32
  • Image carrée
    05/06/2023 09:53
  • Image carrée
    02/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:32