Habari RFI-Ki
Serikali na upinzani nchini Kenya zalaumiana kuhusu ufisadi
Imechapishwa:
Cheza - 09:52
Wanasiasa nchini Kenya wameendelea kulauamiana kuhusu vita dhidi ya upinzani.Upinzani unadai kuwa viongozi wa serikali ni wafisadi lakini serikali nayo inasema wanasiasa wa upinzani ni wafisadi pia.Tunazungumza na Wakenya.