Habari RFI-Ki

Serikali na upinzani nchini Kenya zalaumiana kuhusu ufisadi

Imechapishwa:

Wanasiasa nchini Kenya wameendelea kulauamiana kuhusu vita dhidi ya upinzani.Upinzani unadai kuwa viongozi wa serikali ni wafisadi lakini serikali nayo inasema wanasiasa wa upinzani ni wafisadi pia.Tunazungumza na Wakenya.

Rais Uhuru Kenyatta, akitia saini moja ya miswada kuwa sheria hivi karibuni, juma hili ametia saini muswada wa sheria ya kupata taarifa kuwa sheria rasmi.
Rais Uhuru Kenyatta, akitia saini moja ya miswada kuwa sheria hivi karibuni, juma hili ametia saini muswada wa sheria ya kupata taarifa kuwa sheria rasmi. State House Kenya
Vipindi vingine
  • Image carrée
    02/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:32
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38