Habari RFI-Ki

Wabunge wanawake Kenya wabuni mbinu ya kuhamasisha wanaume kujiandikisha katika daftari la kupiga kura

Imechapishwa:

Wabunge wanawake nchini Kenya wamewataka wanawake nchini humo kuwanyima wanaume tendo la ndoa hadi watakapojiandikisha katika daftari la mpiga kura kujiandaa na uchaguzi mkuu wa raisi hapo baadae mwaka huu...

Viongozi wanaounda muungano wa vyama vya upinzani NASA nchini Kenya
Viongozi wanaounda muungano wa vyama vya upinzani NASA nchini Kenya REUTERS/Thomas Mukoya
Vipindi vingine
  • Image carrée
    02/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:32
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38