Habari RFI-Ki
Wabunge wanawake Kenya wabuni mbinu ya kuhamasisha wanaume kujiandikisha katika daftari la kupiga kura
Imechapishwa:
Cheza - 09:14
Wabunge wanawake nchini Kenya wamewataka wanawake nchini humo kuwanyima wanaume tendo la ndoa hadi watakapojiandikisha katika daftari la mpiga kura kujiandaa na uchaguzi mkuu wa raisi hapo baadae mwaka huu...