Habari RFI-Ki

Mgomo wa watumishi wa umma ni suluhu ya kushinikiza madai yao kutekelezwa na serikali..

Imechapishwa:

Katika makala ya habari rafiki leo wasikilizaji wanatoa maoni yao je migomo ni suluhu pekee ya kufaa kushinikiza serikali kutekeleza madai ya wafanyakazi wa umma katika mataifa ya Afrika mashariki?

Madaktari walio katika mgomo nchini Kenya wanomba nyongeza ya mshahara ya 50% kama ilivyokubaliwa katika mkataba uliosainiwa mwaka 2013.
Madaktari walio katika mgomo nchini Kenya wanomba nyongeza ya mshahara ya 50% kama ilivyokubaliwa katika mkataba uliosainiwa mwaka 2013. © Getty Images