Mjadala wa Wiki

Uchaguzi ndani ya vyama vya siasa nchini Kenya

Imechapishwa:

Uchaguzi ndani ya vyama vya siasa nchini Kenya umemalizika. Wagombea wa nyadhifa mbalimbali wamepatikana, lakini ni zoezi ambalo limedaiwa kukumbwa na ufisadi na hata baadhi ya wanasiasa kutapelewa. Hali hii pia imesababisha kuwepo kwa wagombea  binafsi zaidi ya elfu mbili. Tunajadili zoezi hili kwa kina.

Wagombea wakuu wa urais nchini Kenya, Uhuru Kenyatta (Kulia) na  mgombea mkuu wa upinzani Raila Odinga (Kushoto).
Wagombea wakuu wa urais nchini Kenya, Uhuru Kenyatta (Kulia) na mgombea mkuu wa upinzani Raila Odinga (Kushoto). DR.