Mkataba mpya wa amani nchini Sudan Kusini wavunjika tena
Imechapishwa:
Sauti 12:30
Baada ya kutia saini mkataba mpya wa amani kati ya wawakilishi wa Sudan Kusini na waasi, mkataba huo ulivunjika saa chache baada ya kuanza kutekelezwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Nini hatima ya mzozo wa Sudan Kusini ?