Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia ripoti ya kidunia kuhusu unayang'anywaji wa ardhi kwa jamii asilia zinzoishi kwenye maeneo ambayo Serikali nyingi hapa barani Afrika zimekuwa zikipoka ardhi yao bila fida kwa kisingizio cha maendeleo.
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia ripoti ya kidunia kuhusu unayang'anywaji wa ardhi kwa jamii asilia zinzoishi kwenye maeneo ambayo Serikali nyingi hapa barani Afrika zimekuwa zikipoka ardhi yao bila fida kwa kisingizio cha maendeleo.