Habari RFI-Ki

Sudani kusini na harakati za kutekeleza mkataba wa amani

Imechapishwa:

Serikali ya Sudani Kusini imeanza kutekeleza makubaliano ya mkataba wa amani kwa kuwaachilia huru wafungwa na kuunganisha makundi hasimu ya kijeshi. Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu, kupata maoni yao kuhusu ya hatua hii.

Rais Salva Kiir na kiongozi wa waasi Dr. riek Machar baada ya kutia saini makubaliano ya amani Mjini Khartoum nchini Sudani.
Rais Salva Kiir na kiongozi wa waasi Dr. riek Machar baada ya kutia saini makubaliano ya amani Mjini Khartoum nchini Sudani. Kenya Presidential Press Service/Handout via REUTERS
Vipindi vingine
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:32
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38
  • Image carrée
    19/05/2023 09:59