Habari RFI-Ki

Nafasi ya vijana katika mapambano ya rushwa na ufisadi

Imechapishwa:

Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta ametoa wito kwa vijana kujihusisha na vita dhidi ya ufisadi na rushwa. Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu ili kupata maoni yao kuhusu nafasi ya vijana katika mapambano hayo.

Rushwa inatajwa kuathiri maendeleo ya mataifa mengi duniani
Rushwa inatajwa kuathiri maendeleo ya mataifa mengi duniani
Vipindi vingine
  • Image carrée
    02/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:32
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38