Mjadala wa kura ya maoni nchini Kenya, kuibadilisha Katiba
Imechapishwa:
Sauti 11:42
Mjadala wa kuwepo kwa kura ya maoni nchini Kenya ili kuibadilisha Katiba nchini Kenya, umeanza kupamba moto. Lengo ni kubadilisha mfumo wa uongozi, na kuwepo kwa Waziri Mkuu ili kuleta mshikamano wa taifa kila baada ya Uchaguzi Mkuu.