Rais wa Uganda Yoweri Museveni, ameagiza kutotolewa upya kwa leseni kwa kampuni za michezo ya kubashiri kwa madai kuwa inawapotezea muda vijana wengi na kuwafanya kuwa wavivu.Msikilizaji ana maoni gani ?
Rais wa Uganda Yoweri Museveni, ameagiza kutotolewa upya kwa leseni kwa kampuni za michezo ya kubashiri kwa madai kuwa inawapotezea muda vijana wengi na kuwafanya kuwa wavivu.Msikilizaji ana maoni gani ?