Habari RFI-Ki

Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani na onyo kwa serikali kuacha kupunguza wafanyakazi kwa kisingizo cha kubana matumizi

Imechapishwa:

Wafanyakazi Duniani kote wameadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani iliyokwenda sambamba kwa Vyama vya Wafanyakazi kutaka serikali za nchi zao kuacha kutumia kisingizio cha kubana matumizi kwa kuwafuta kazi wafanyakazi huku pia wakitaka usalama kazini pamoja na kuboreshwa kwa mazingira ya kazi.

Wafanyakazi nchini Ufaransa wakiandamana kuadhimisha siku ya Wafanyakazi Duniani inayoadhimishwa tarehe 1 May kila mwaka
Wafanyakazi nchini Ufaransa wakiandamana kuadhimisha siku ya Wafanyakazi Duniani inayoadhimishwa tarehe 1 May kila mwaka 照片来源:路透社REUTERS/Robert Pratta
Vipindi vingine
  • Image carrée
    02/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:32
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38