Mjadala wa Wiki

Wanajeshi watiifu kwa Rais aliyepinduliwa Nchini Mali Toure wataka kutekeleza Mapinduzi dhidi ya Utawala wa Kijeshi

Imechapishwa:

Hali ya kisiasa nchini Mali baada ya kundi la wanajeshi watiifu kwa rais wa zamani wa nchi hiyo aliepinduliwa madarakani Amadou Toumani Toure kuendesha jaribio la mapinduzi kwa kuviteka vituo muhimu mathalan Radio na Televisheni pamoja na uwanja wa ndege wa kimataifa wa jijini Bamako. Mali Ali mchambuzi kutoka Burundi na Robert Mkosamali muhadhiri na mchambuzi wa maswala ya kisiasa wanachambua kwa kina hali hiyo.

Vifaru vinavyoongozwa na Kepteni Amadou Haya Sanogo vikishika doria nje ya Jengo la Radio na Televisheni ya Taifa baada ya kushindwa kwa jaribio la Mapinduzi wa Wanajeshi wa Rais wa zamani Amadou Toure
Vifaru vinavyoongozwa na Kepteni Amadou Haya Sanogo vikishika doria nje ya Jengo la Radio na Televisheni ya Taifa baada ya kushindwa kwa jaribio la Mapinduzi wa Wanajeshi wa Rais wa zamani Amadou Toure AFP/HABIBOU KOUYATE
Vipindi vingine