Afrika Ya Mashariki

Ufalme wa Buganda ndani ya Uganda ukiwa na Utawala kamili

Imechapishwa:

Ufalme wa Buganda nchini Uganda. Uganda ni miongoni mwa nchi chache zinazoongozwa na rais wakati huo huo zina wafalme wenye mamlaka kamili kwenye ufalme wao. Ufalme wa Buganda una serikali kuanzia Waziri Mkuu, Bunge, Mawaziri na Maafisa wengine wa serikali.

Ronald Muwenda Muteba II ni Mfalme wa 36 katika Utawala wa Buganda
Ronald Muwenda Muteba II ni Mfalme wa 36 katika Utawala wa Buganda
Vipindi vingine
  • Image carrée
    31/05/2023 09:58
  • Image carrée
    24/05/2023 09:59
  • Image carrée
    18/05/2023 09:59
  • Image carrée
    12/05/2023 09:59
  • Image carrée
    03/05/2023 09:53