Kutetereka kwa Uhusiano baina ya Vyombo ya Usalama na Raia katika nchi za Afrika Mashariki
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 09:55
Makala ya Habari Rafiki yanaangazia suala la mahusiano baina vyombo vya usalama katika nchi za Afrika Mashariki na raia wake. Suala hili linakuja kufuatia matukio ya hivi karibuni kushuhudia raia wakipoteza maisha mikononi mwa vyombo vya usalama lakini pia kushambuliwa na kuuawa kwa askari polisi. Wasikilizaji wanapaza sauti zao kutathmini mahusiano hayo na kuyatolea maoni yanayoweza kuleta ufumbuzi.