Kunyanyaswa kwa waandishi wa habari Mashariki mwa DRC
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 09:54
Karibu katika makala ya habari rafiki leo tunatazama ripoti ya umoja wa mataifa inayoshutumu waasi wa M23 kuwanyanyasa waandishi wa habari huko Mashariki mwa DRC. Ruben Kakule Lukumbuka anakufahamisha mengi.