Jukwaa la Michezo

Fainali za AFCON mwaka 2013

Imechapishwa:

Hatimaye fainali za Dimba la Mataifa Bingwa barani Afrika AFCON zimewadia na hii leo Nigeria wataumana na Burkina Faso katika kusaka kuwania ubingwa huo. Ungana na mwanamichezo wako Victor Abuso kuangazia mambo mbalimbali yanayoendelea kujiri huko nchini Afrika Kusini sambamba na maandalizi ya fainali hizo, karibu. 

Journal des sports
Journal des sports © Studio Graphique FMM
Vipindi vingine