Nyumba ya Sanaa

Tamasha la Sauti za Busara mwaka 2013

Imechapishwa:

Nakukaribisha katika makala hii ya Nyumba ya Sanaa ambapo juma hili tunakuletea mambo muhimu yanayojiri katika Tamasha la kumi la Sauti za Busara ambalo hufanyika kila mwaka katika visiwa vya Zanzibar nchini Tanzania, ungana naye Ebby Shaban Abdallah kujua mengi zaidi yanayoendelea katika tamasha hilo lililosheheni wasanii kutoka sehemu mbalimbali.

Agenda Culture Afrique
Agenda Culture Afrique RFI
Vipindi vingine
  • Image carrée
    06/05/2023 20:06
  • Image carrée
    22/04/2023 20:02
  • Image carrée
    13/03/2023 20:04
  • Image carrée
    13/03/2023 20:01
  • Image carrée
    13/03/2023 20:08