Habari RFI-Ki

Wizi wa fedha ambao unafanyika kwenye mabenki kwa kutumia kadi bandia za wateja

Imechapishwa:

Wananchi wa Afrika Mashariki wameanza kukabiliwa na tatizo la usalama wa fedha zao ambao wanahifadhi kwenye mabenki kutokana na kuibuka wizi wa fedha kwenye mashine za kutolea fedha!! Wezi hao wamekuwa wakitumia kadi bandia za kutolea fedha ili kuendesha wizi wa fedha za watija kwenye mabenki.

Kadi za Benki za kutolea fedha kwenye mashine za fedha kutoka Benki mbalimbali nchini Tanzania
Kadi za Benki za kutolea fedha kwenye mashine za fedha kutoka Benki mbalimbali nchini Tanzania
Vipindi vingine
  • Image carrée
    02/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:32
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38