Afrika Ya Mashariki

Viongozi kutoka Rwanda, Burundi na DRC wakutana kuangalia njia za kumaliza matatizo bila ya kutumia silaha

Imechapishwa:

Juhudi za kiraia kushirikiana na wasomi na wanasiasa wa mataifa ya Burundi, Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kwenye kongamano la kujadili kwa pamoja namna ya kuleta amani kwenye ukanda wa maziwa makuu pasipo njia ya mtutu.

Makala ya Afrika Mashariki, ni moja ya Makala ambayo inakukusanyia matukio na mambo mbalimbali yanayojiri kwenye ukanda, na inaruka kila siku za Jumanne jioni saa 12:20 na marudio Jumatano asubuhu saa 1:46.
Makala ya Afrika Mashariki, ni moja ya Makala ambayo inakukusanyia matukio na mambo mbalimbali yanayojiri kwenye ukanda, na inaruka kila siku za Jumanne jioni saa 12:20 na marudio Jumatano asubuhu saa 1:46. © EAC.int
Vipindi vingine
  • Image carrée
    31/05/2023 09:58
  • Image carrée
    24/05/2023 09:59
  • Image carrée
    18/05/2023 09:59
  • Image carrée
    12/05/2023 09:59
  • Image carrée
    03/05/2023 09:53