Habari RFI-Ki

Mkutano

Imechapishwa:

Makala ya Habari Rafiki hii leo yanazungumzia juu ya Mazungumzo ya kuleta amani yaliyofanyika Mjini Adis Ababa nchini Ethiopia lakini kubwa ni juu ya utiaji saini wa Makubaliano ya kumaliza machafuko Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Mataifa wanachama wa jumuia ya kanda la Maziwa makuu yalitia saini Makubaliano hayo.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon alishuhudia utiaji saini wa Makubaliano ya Amani
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon alishuhudia utiaji saini wa Makubaliano ya Amani AFP / Maina
Vipindi vingine
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38
  • Image carrée
    19/05/2023 09:59
  • Image carrée
    13/05/2023 09:30
  • Image carrée
    12/05/2023 09:30