Jukwaa la Michezo

Mgogoro katika Shirikisho la Soka nchini Tanzania TFF

Imechapishwa:

Karibu katika Makala ya Jukwaa la Michezo na juma hili tunaangazia mgogoro wa shirikisho la soka nchini Tanzania TFF kuhusiana na maswala ya uchaguzi wa viongozi wa shirikisho hilo, lakini pia tutatupia macho migongano iliyochukua sura mpya katika soka la nchi hiyo baada ya kamati ya uchaguzi kumbakiza Athuman Nyamlani kuwa mgombea pekee wa Urais wa shirikisho na kuwaengua wagombewa wengine Jamal Malinzi na Michael Wambura. Ungana na mwanamichezo wako Victor Abuso upate kujua mengi zaidi kuhusiana na sakata hilo.

Journal des sports
Journal des sports © Studio Graphique FMM
Vipindi vingine