Afrika Ya Mashariki

Uchaguzi wa Kenya

Imechapishwa:

Raia wa Kenya wamepiga kura ili kuwachagua viongozi wao mbalimbali katika Taifa lao, hii leo Makala ya Afrika Mashariki inatazama maoni mbalimbali juu ya uchaguzi huo uliomalizika hapo jana na sasa ni matokeo ya mwisho ndiyo yanayosubiriwa ili kujua nani kaibuka kinara katika nafasi mbalimbali zilizogombaniwa. Julian Rubavu atakujuza mengi zaidi katika makala haya, karibu.

REUTERS/Marko Djurica
Vipindi vingine
  • Image carrée
    31/05/2023 09:58
  • Image carrée
    24/05/2023 09:59
  • Image carrée
    18/05/2023 09:59
  • Image carrée
    12/05/2023 09:59
  • Image carrée
    03/05/2023 09:53