Raia wa Kenya wamepiga kura ili kuwachagua viongozi wao mbalimbali katika Taifa lao, hii leo Makala ya Afrika Mashariki inatazama maoni mbalimbali juu ya uchaguzi huo uliomalizika hapo jana na sasa ni matokeo ya mwisho ndiyo yanayosubiriwa ili kujua nani kaibuka kinara katika nafasi mbalimbali zilizogombaniwa. Julian Rubavu atakujuza mengi zaidi katika makala haya, karibu.
Vipindi vingine
-
Afrika Ya Mashariki Ndoa za utotoni zinavyo sababisha fistula Afrika Mashariki Ndoa za utotoni zinatajwa kusababisha athari kwa watoto wa kike kisaikolojia, kiafya, kiuchumi na hata Kwenda mbali zaidi kusabisha athari za afya31/05/2023 09:58
-
Afrika Ya Mashariki Wafugaji wanavyo changia kuharibu mazingira Makala ya wiki hii yanaangazia jinsi wafugaji wanavyochangia katika uharibifu wa mazingira mjini Iringa Tanzania24/05/2023 09:59
-
Afrika Ya Mashariki Vijana na Ubunifu mkoani Mwanza nchini Tanzania Vijana wengi huchangia katika nguvu kazi ya kitaifa kama njia moja ya kuboresha na kuimarisha uchumi wa kitaifa.18/05/2023 09:59
-
Afrika Ya Mashariki Vijana na muziki wa Injili nchini Tanzania Katika ukanda wa Afrika mashariki muziki wa kizazi kipya ndio wenye kubamba kutoka pembe mbalimbali nchini Tanzania ukiitwa Bongo fleva ukiwa na maadhi tofauti tofauti kama ilivyo kwa muziki wa genge nchini Kenya12/05/2023 09:59
-
Afrika Ya Mashariki Uhuru wa vyombo vya habari Martin Nyoni anaangazia uhuru wa habari nchini Tanzania03/05/2023 09:53