Makala ya Habari Rafiki hii leo inaangazia suala la muungano wa kisiasa wa CORD wa nchini Kenya kuchukua uamuzi wa kwenda mahakamani kupinga matokeo ya Urais wa nchi hiyo yaliyompa ushindi Uhuru Muigai Kenyatta wa muungano wa Jubilee dhidi ya Raila Odinga wa muungano wa CORD, karibu sana na Ebby Shaban atakuwa nawe katika kipindi hiki.
Vipindi vingine
-
Habari RFI-Ki Ugumu wa mataifa ya Afrika kuwapa raia wao makazi bora Haki ya raia kuishi kwenye makazi bora imeendelea kuwa changamoto kwa mataifa ya Afrika06/06/2023 09:32
-
Habari RFI-Ki Wito wa Marekani na Saudia wa kufanyika upya mazungumzo kumaliza vita Sudan Nchi za Marekani na Saudia ambazo zimekuwa zikiratibu mazungumzo ya kuleta amani Sudan zimetaka mazungumzo hayo kufanyika upya .05/06/2023 09:53
-
02/06/2023 09:30
-
Habari RFI-Ki CAR kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya, itakayomruhusu rais Touadera kuwania urais 2025.01/06/2023 09:30
-
01/06/2023 09:32