Habari RFI-Ki

CORD kutinga mahakamani

Imechapishwa:

Makala ya Habari Rafiki hii leo inaangazia suala la muungano wa kisiasa wa CORD wa nchini Kenya kuchukua uamuzi wa kwenda mahakamani kupinga matokeo ya Urais wa nchi hiyo yaliyompa ushindi Uhuru Muigai Kenyatta wa muungano wa Jubilee dhidi ya Raila Odinga wa muungano wa CORD, karibu sana na Ebby Shaban atakuwa nawe katika kipindi hiki.

Vipindi vingine
  • Image carrée
    06/06/2023 09:32
  • Image carrée
    05/06/2023 09:53
  • Image carrée
    02/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:32