Karibu katika makala ya "Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho" juma hili tunaangazia swala la uchafuzi wa ardhi na athari zake katika utunzaji wa mazingira, kwa mengi zaidi ungana na Ebby Shabani Abdallah katika makala haya.
Vipindi vingine
-
16/05/2023 09:34
-
13/05/2023 10:02
-
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho Wakulima nchini Kenya waapa kuendelea kutumia mbegu za kiasili ili kulinda mazingira Kenya yasalia nchi pekee kwenye jumuiya ya Afrika mashariki katika mipango ya uagizaji wa mbegu na vyakula vya jenetiki.Hadi sasa Tanzania, Uganda na Burundi bado haijafungulia uagizaji wa vyakula na mbegu zilizoboreshwa kisayansi, GMOs, katika kanda hii.01/05/2023 10:00
-
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho Wanawake wanavyojishughulisha na uvuvi Pwani ya Kenya Tunawaangazia wanawake wanaofanya uvuvi katika maeneo ya baharini, Pwani ya Kenya, kazi ambayo mara nyingi kufanywa na wanaumme.19/04/2023 09:52
-
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho Ukulima wa mwani( Seaweed), Pwani ya Kenya Ukulima wa mwani unavyowasaidia wanawake Pwani ya Kenya. Mwanahabari wetu wa Mombasa Diana Wanyonyi, aliwatembelea wakulima hao wakiwa kwenye mashamba yao.03/04/2023 09:56