Habari RFI-Ki

Athari za mvua katika jiji la Dar es salaam

Imechapishwa:

Karibu katika Habari Rafiki hii leo tunakita kambi katika jiji la Dar es salaam nchini Tanzania kuangazia adha zinazowakumba wakazi wa jiji hilo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha hivi sasa, Ebby Shaban Abdallah anazuzungumza na wakazi hao ambao wana mengi ya kueleza kuhusiana na hali hii.

maishatimes.blogspot.com
Vipindi vingine
  • Image carrée
    09/06/2023 10:03
  • Image carrée
    06/06/2023 09:32
  • Image carrée
    05/06/2023 09:53
  • Image carrée
    02/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30