Katika Habari Rafiki hii leo tunaangazia mfumo wa matangazo ya televisheni kwa njia ya digitali ambao baadhi ya watumiaji bado hawajauelewa vizuri, ungana na Ebby Shaban Abdallah kujua mengi zaidi juu ya faida na changamoto zinazowakabili watumiaji wa mfumo huu nchini Tanzania hususani baada ya matangazo ya analojia kuzimwa rasmi mwishoni mwa mwaka jana.
Vipindi vingine
-
Habari RFI-Ki Ugumu wa mataifa ya Afrika kuwapa raia wao makazi bora Haki ya raia kuishi kwenye makazi bora imeendelea kuwa changamoto kwa mataifa ya Afrika06/06/2023 09:32
-
Habari RFI-Ki Wito wa Marekani na Saudia wa kufanyika upya mazungumzo kumaliza vita Sudan Nchi za Marekani na Saudia ambazo zimekuwa zikiratibu mazungumzo ya kuleta amani Sudan zimetaka mazungumzo hayo kufanyika upya .05/06/2023 09:53
-
02/06/2023 09:30
-
Habari RFI-Ki CAR kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya, itakayomruhusu rais Touadera kuwania urais 2025.01/06/2023 09:30
-
01/06/2023 09:32