Habari RFI-Ki

Wafanyabiashara wadogo wadogo

Imechapishwa:

Karibu katika makala ya Habari Rafiki na hii leo tunaangazia mkutano wa kimataifa unaofanyika jijini Dar es salaam nchini Tanzania ambao unalenga kuangazia maswala ya ubunifu kwa wafanyabiashara na hati miliki, ungana na Ebby Shaban Abdallah ambaye anazungumza na wafanyabiashara wadogo wadogo au wajasiriamali walioshiriki katika maonyesho yaliyoambatana na mkutano huo.

Habari Rafiki
Habari Rafiki © RFI
Vipindi vingine
  • Image carrée
    09/06/2023 10:03
  • Image carrée
    06/06/2023 09:32
  • Image carrée
    05/06/2023 09:53
  • Image carrée
    02/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30