Karibu katika makala ya Habari Rafiki na hii leo tunaangazia mkutano wa kimataifa unaofanyika jijini Dar es salaam nchini Tanzania ambao unalenga kuangazia maswala ya ubunifu kwa wafanyabiashara na hati miliki, ungana na Ebby Shaban Abdallah ambaye anazungumza na wafanyabiashara wadogo wadogo au wajasiriamali walioshiriki katika maonyesho yaliyoambatana na mkutano huo.
Vipindi vingine
-
Habari RFI-Ki Kuyashirikisha makundi yenye silaha kwenye mazungumzo ya amani Kuna ongezeko kubwa la makundi yenye silaha katika mataifa ya Afrika09/06/2023 10:03
-
Habari RFI-Ki Ugumu wa mataifa ya Afrika kuwapa raia wao makazi bora Haki ya raia kuishi kwenye makazi bora imeendelea kuwa changamoto kwa mataifa ya Afrika06/06/2023 09:32
-
Habari RFI-Ki Wito wa Marekani na Saudia wa kufanyika upya mazungumzo kumaliza vita Sudan Nchi za Marekani na Saudia ambazo zimekuwa zikiratibu mazungumzo ya kuleta amani Sudan zimetaka mazungumzo hayo kufanyika upya .05/06/2023 09:53
-
02/06/2023 09:30
-
Habari RFI-Ki CAR kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya, itakayomruhusu rais Touadera kuwania urais 2025.01/06/2023 09:30