Habari RFI-Ki

i Pad

Imechapishwa:

Makala ya Habari Rafiki hii leo yanazungumzia juu ya hatua ya Serikali ya Uganda kutenga kitita cha Fedha kwa ajili ya kununulia Wabunge wake Kompyuta ya Kisasa aina ya i pad, huku wengine wakikosoa kuwa hakukuwa na ulazima wakati huu ambapo kuna Changamoto nyingine zinazowakabili.Ungana na Ruben Lukumbuka kuangazia hilo. 

Vipindi vingine
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38
  • Image carrée
    19/05/2023 09:59
  • Image carrée
    13/05/2023 09:30
  • Image carrée
    12/05/2023 09:30
  • Image carrée
    10/05/2023 09:28