Jua Haki Zako
Uvunjifu wa Haki za Binadamu umekuwa chanzo cha uwepo wa ukosefu wa demokrasia katika nchi nyingi
Imechapishwa:
Cheza - 08:05
Ukosefu wa Demokrasia na maendeleo duni katika mataifa mengine umekuwa ukichochewa na mifarakano inayosababishwa na kutotekelezwa kwa Haki za Binadamu katika nchi husika!!