Jua Haki Zako

Uvunjifu wa Haki za Binadamu umekuwa chanzo cha uwepo wa ukosefu wa demokrasia katika nchi nyingi

Imechapishwa:

Ukosefu wa Demokrasia na maendeleo duni katika mataifa mengine umekuwa ukichochewa na mifarakano inayosababishwa na kutotekelezwa kwa Haki za Binadamu katika nchi husika!!

RFI Idhaa ya Kiswahili
RFI Idhaa ya Kiswahili RFI