Habari RFI-Ki

Serikali ya Tanzania yafuta matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 baada ya Tume kubaini kulikuwa na mapungufu kwenye usahihishaji

Imechapishwa:

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imelazimika kufuta matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2012 baada ya Tume iliyoundwa na Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda kubaini uwepo wa mapungufu na sasa Baraza la Taifa la Mitihani limetakiwa kuyapitia upya na kupanga tena madaraja kwa wananfunzi wote!!

Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Kayanza Peter Pinda aliyeunda Tume Maalum kupitia matokeo mabaya ya kidato cha nne ya mwaka 2012
Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Kayanza Peter Pinda aliyeunda Tume Maalum kupitia matokeo mabaya ya kidato cha nne ya mwaka 2012