Muziki Ijumaa

Nyboma Mwan'dido mwanamuziki kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC aliyejizolea umaarufu katika miondoko ya Soukous

Imechapishwa:

Makala ya Muziki Ijumaa leo yanapiga hodi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC na kukutana na mwanamuziki mashuhuri Nyboma Mwan'dido ambaye ameweza kuvuma sana kutokana na umahiri wake katika miondoko ya Soukous!!

Mwanamuziki mahiri katika miondoko ya Soukous Nyboma Mwan'dido akiwajibika jukwaani
Mwanamuziki mahiri katika miondoko ya Soukous Nyboma Mwan'dido akiwajibika jukwaani
Vipindi vingine
  • Image carrée
    21/04/2023 09:59
  • Image carrée
    24/03/2023 10:08
  • Image carrée
    17/03/2023 10:23
  • Image carrée
    15/07/2022 10:08
  • Image carrée
    25/05/2022 10:00