Habari RFI-Ki

Kumbukumbu ya miaka 17 tangu ajali ya meli ya MV BUKOBA kuua maelfu nchini Tanzania

Imechapishwa:

Makala ya Habari Rafiki hii leo inajadili usalama wa vyombo vya usafiri wa majini wakati wa maadhimisho ya miaka kumi na saba tangu kutokea kwa ajali ya meli ya MV Bukoba,katika ziwa Victoria,Mwanza Tanzania ambapo maelfu ya wat walipoteza maisha.

Habari Rafiki
Habari Rafiki © RFI
Vipindi vingine
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38
  • Image carrée
    19/05/2023 09:59
  • Image carrée
    13/05/2023 09:30
  • Image carrée
    12/05/2023 09:30