Habari RFI-Ki
Kuendelea kwa Muziki unaochangia kuvunja maadili,maarufu kama kanga moja Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 10:14
Makala ya habari rafiki leo inaangazia muziki unaopigwa marufuku mjini Dar es Salaam kwa kuchochea vitendo viovu na uvunjifu wa maadili inayojulikana kama Khanga moja.Jeshi la polisi nchini Tanzania limekuwa katika harakati za kutaka kukomesha uchezaji huo,wasikilizaji wanasemaje...