Muziki Ijumaa

Marie Daulne mwanamuziki kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambaye anaongoza Bendi ya Zap Mama

Imechapishwa:

Makala ya Muziki Ijumaa hii leo inamuangazia Mwanamuziki Marie Daulne toka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, Mwanamuziki huyu ana asili ya Ubelgiji na Mama yake Raia wa Congo. Daulne ni Kiongozi wa Bendi ya Zap Mama.

Mwanamuziki kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC Marie Daulne ambaye ni Kiongozi wa Bendi ya Zap Mama
Mwanamuziki kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC Marie Daulne ambaye ni Kiongozi wa Bendi ya Zap Mama
Vipindi vingine
  • Image carrée
    21/04/2023 09:59
  • Image carrée
    24/03/2023 10:08
  • Image carrée
    17/03/2023 10:23
  • Image carrée
    15/07/2022 10:08
  • Image carrée
    25/05/2022 10:00