MISRI-MAHAKAMA
Mahakama nchini Misri kusikiliza kesi ya uchochezi dhidi ya makam wa rais aliejiuluzu, huku ikipitia upya ombi la kuachiwa huru kwa rais Hosni Mubarak
Imechapishwa:
Mahakama kuu nchini Misri inapanga tarehe ya kuanza kusikiliza kesi ya uchochezi na kutishia usalama wa taifa dhidi ya aliyekuwa makamu wa rais wa serikali ya mpito Mohammed Elbaradei aliyetangaza kujiuzulu juma moja lililopita.