Habari RFI-Ki

Afrika Mashariki hususan Kenya yapigwa na taharuki kufuatia uvamizi wa kikundi kinachoaminika kuwa Alshabab

Imechapishwa:

Inajikita huko Kenya ambapo tukio la kutaharuki limejitokeza jumamosi mjini Nairobi ambapo kikundi cha watu wenye silaha wamevamia jumba la kibiashara la Westgate na kuua watu 62 na 175 wakijeruhiwa.Taarifa zinasema kuwa Jeshi la Kenya bado linaenndeleza operesheni ya kuwakabili wahalifu hao....karibu!

Eneo la Westgate ambalo kundi la watu wenye silaha walivamia na kufanya mauaji na utekaji nyara
Eneo la Westgate ambalo kundi la watu wenye silaha walivamia na kufanya mauaji na utekaji nyara totallycoolpix.com
Vipindi vingine
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:32
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38
  • Image carrée
    19/05/2023 09:59