Habari RFI-Ki
Afrika Mashariki hususan Kenya yapigwa na taharuki kufuatia uvamizi wa kikundi kinachoaminika kuwa Alshabab
Imechapishwa:
Cheza - 09:55
Inajikita huko Kenya ambapo tukio la kutaharuki limejitokeza jumamosi mjini Nairobi ambapo kikundi cha watu wenye silaha wamevamia jumba la kibiashara la Westgate na kuua watu 62 na 175 wakijeruhiwa.Taarifa zinasema kuwa Jeshi la Kenya bado linaenndeleza operesheni ya kuwakabili wahalifu hao....karibu!