Habari RFI-Ki

Baadhi ya wanasiasa wajiondoa katika mazungumzo ya kitaifa nchini DRCongo

Imechapishwa:

Makala ya Habari Rafiki hii leo inaangazia suala ya baadhi ya wanasiasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kuanza kujiondoa katika mazungumzo ya kitaifa yanayoendelea jijini Kinshasa kwa kigezo cha serikali kutotimiza baadhi ya ahadi ilizotoa ikiwamo suala la marupurupu.

Reuters
Vipindi vingine
  • Image carrée
    09/06/2023 10:03
  • Image carrée
    06/06/2023 09:32
  • Image carrée
    05/06/2023 09:53
  • Image carrée
    02/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30