Makala haya ya “Habari Rafiki” yanaangazia kuhusu siku kuu ya Maulid kwa waislamu(kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad saw), siku ambayo imesheherekewa tarehe 14 januari mwaka 2014. Umuhimu na tafsiri ya siku kuu ya Maulid.Ungana na Ebby Shaban Abdallah.................
Vipindi vingine
-
Habari RFI-Ki maoni yako kuhusu taarifa zetu juma hili Kila siku ya Ijumaa rfi Kishwahili inakupa nafasi ya kuchangia mada yoyote ile unayoipenda katika makala Habari Rafiki.19/05/2023 09:59
-
13/05/2023 09:30
-
12/05/2023 09:30
-
Habari RFI-Ki Je vikosi vya SADC ndio suluhu ya usalama mdogo mashariki mwa DRC Muungano wa nchi za SADC, umeafikiana kutuma kikosi chake nchini DRC kusaidia kurejesha usalama mashariki mwa nchi hiyo. Tumewauliza wasikilizaji wetu ikiwa wanadhani kikosi cha SADC kitaleta tofauti mashariki mwa DRC.Raia nchini DRC watazamie nini kutoka kwa kikosi cha SADC10/05/2023 09:28
-
Habari RFI-Ki Ni mbinu zipi bora za kutumia ili kudhibiti mafuriko barani Afrika Mataifa ya ukanda wa Afrika mashariki yameshuhudia mafuriko makubwa ambapo mamia ya watu nchini Rwanda na DRC wamethibitishwa kufariki. Tumepata taswira ya hali ilivyo katika mataifa mbalimbali.Pia tumeuliza suluhu ya changamoto hizi za mafuriko ni nini? Tusikilize maoni ya wasikilizaji wetu.09/05/2023 10:00