Mchezo wa soka unaochezwa ufukweni nchini Burundi
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 09:56
Leo tunaangazia mchezo wa mpira wa ufukweni huko nchini Burundi. Mchezo huu sio maarufu sana kwa baadhi ya watu ukilinganisha na mpira wa miguu au mpira wa kikapu. Huko Burundi mpira wa ufukweni umeanza miaka 13 iliyopita.