Changamoto za ajira kwa vijana wa nchi za Afrika Mashariki
Imechapishwa:
Sauti 09:43
Leo tunaangazia juu ya changamoto ya ajira kwa Vijana wa nchi za Afrika ya Mashariki, na leo tunaungana na baadhi ya vijana wa Kenya na Tanzania. Baadhi ya vijana hao wanabainisha kuwa juhudi na bidii ndio njia muafaka ya vijana kufikia ndoto zao. Vijana wanashauri vijana wenzao kutumia elimu na vipaji ili kujiinua kiuchumi.