Makala maalum kuhusu mwezi wa Francophonie sehemu ya tatu
Imechapishwa:
Sauti 20:21
Katika sehemu hii ya tatu ya Makala kuhusu la Franchophonie, mtangazaji wako Ali Bilali amempokea studioni Julie Briand afisaa kutoka Ubalizi wa Ufaransa jijini Nairobi kuzungumzia mengi zaidi kuhusu la Francophonie, lakini pia utapata kumsikia Elsie Gathonie raia wa Kenya anaesoma huko Ubelgiji anatueleza nini kilichomvutia kusoma Kifaransa na changamoto alizozipata mwanzoni kutokana na mila na tamaduni.
Matangazo ya kibiashara
Usikosi pia kutufollow kwa instagram @billy_bilali