Changu Chako, Chako Changu

Historia ya binadamu katika Kaunti ya Turkana nchini Kenya

Imechapishwa:

Kuhusu historia na utamaduni, tunaangazia utafiti  wa shughuli, asili,  na tamaduni ya binadamu zaidi ya miaka Milioni tatu iliyopita, katika êneo la Turkana, nchini Kenya uliofanywa na Profesa Mfaransa Sonia Harmand kwa ushirikiano na Makavazi ya taifa ya Kenya.

Mwanaekolojia Profesa Mfaransa Sonia Harmand aliyefanya utafiti katika Kaunti ya Turkana nchini Kenya, akiwa studio za RFI Kiswahili 24/11/2021
Mwanaekolojia Profesa Mfaransa Sonia Harmand aliyefanya utafiti katika Kaunti ya Turkana nchini Kenya, akiwa studio za RFI Kiswahili 24/11/2021 © FMM-RFI
Vipindi vingine