Mskilizaji ana maoni gani kuhusu Kenya kujiondoa katika kesi ya mpaka kati yake na Somalia?
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 10:10
Serikali ya Kenya imejiondoa katika kesi ya mpaka wa baharini kati yake na taifa la Somalia katika mahakama ya haki ya kimataifa ya ICJ, Kenya ikidai mahakama hiyo inapendelea somaliaNini maoni ya Msikilizaji ?