Mkutano wa makabila kutoka Kivu Kusini jijini Kinshasa nchini DRC
Imechapishwa:
Sauti 10:04
Mazungumzo ya amani kati ya makabila ya watu wanaoishi katika maeneo ya Fizi, Uvira na Mwenga jimboni Kivu Kusini, yanafanyika jijini Kinshasa, kutafuta suluhus ya kusitisha migogoro ambayo imekuwa ikiendelea kati yao.Je, suluhu inaweza kupatikana ?