Habari RFI-Ki

Serikali ya Kenya, kuwanyima huduma raia ambao hawajapata chanjo ya Covid 19.

Imechapishwa:

Wakenya ambao hawatachukua chanjo ya Covid 19, kufikia tarehe 21 mwezi ujao hawataweza kupata huduma zozote za serikali na pia za usafiri.Je, wewe umepokea chanjo?Haya hapa baadhi ya maoni yenu.

Chanjo ya Covid 19.
Chanjo ya Covid 19. AFP - SIMON MAINA