Uchaguzi wa CAF mwezi Machi, fainali ya soka kwa vijana nchini Mauritania
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 20:50
Wiki hii, tunaangazia kwa kina kuhusu maandalizi ya uchaguzi wa rais wa Shirikisho la soka barani Afrika, fainali ya vijana kuwania taji la vijana wasiozidi miaka 20 nchini Mauritania, miongoni mwa matukio mengi yaliyotokea viwanjani wiki hii.