Motsepe aelekea kuwa rais wa CAF, Uganda na Ghana zasaka ubingwa wa taji la vijana
Imechapishwa:
Sauti 20:35
Leo katika Makala ya Jukwaa la Michezo miongoni mwa matukio tunakuchambulia ni harakati za kumpata rais mpya wa Shirikisho la soka barani Afrika CAF, fainali ya mchezo wa soka kwa vijana wasiozidi miaka 20 kati ya Uganda na Ghana nchini Mauritania, miongoni mwa masuala mengine.