Fainali ya soka kuwania taji la klabu bingwa barani Afrika
Imechapishwa:
Sauti 24:00
Miongoni mwa yale tunayokuandalia ni pamoja na fainali ya klabu bingwa barani Afrika katika mchezo wa soka, maandalizi ya michezo ya Olimpiki na kumalizika kwa mashindano ya kukimbiza basikeli ya Tour de France.