Jukwaa la Michezo

Hatima ya mchezo wa soka nchini Kenya baada ya kuvunjwa kwa Shirikisho

Imechapishwa:

Nchini Kenya, Wizara ya Michezo imevunja Shirikisho la soka nchini humo na rais wa Shirikisho hilo Nick Mwendwa kukamatwa kwa madai ya ufisadi. Tunachambua hili na mengine mengi yanayotokea viwanjani barani Afrika na kwingineko duniani.

Rais wa Shirikisho la soka nchini Kenya Nick Mwendwa,mwaka 2018.
Rais wa Shirikisho la soka nchini Kenya Nick Mwendwa,mwaka 2018. Yasuyoshi CHIBA AFP/File