Jukwaa la Michezo
Hatima ya mchezo wa soka nchini Kenya baada ya kuvunjwa kwa Shirikisho
Imechapishwa:
Cheza - 23:53
Nchini Kenya, Wizara ya Michezo imevunja Shirikisho la soka nchini humo na rais wa Shirikisho hilo Nick Mwendwa kukamatwa kwa madai ya ufisadi. Tunachambua hili na mengine mengi yanayotokea viwanjani barani Afrika na kwingineko duniani.